POLISI ZANZIBAR WAMSHIKILIA MTUHUMIWA WA ULAWITI
Na Abdulrahim Shekhe.
Jeshi la Polisi visiwani Zanzibar linamshikilia mtuhumiwa wa kesi ya ulawiti Hassan Aboud Talib maarufu kwa jina la ‘Kiringo’ kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 13 jina limehifadhiwa.
Kwa upande
wake makamo mwenyekiti
wa Baraza la vijana
wilaya ya mjini Francisca
Clement alieleza kusikitishwa na
tukio hilo “nilipata taarifa
majira ya saa nne asubuhi nilipouliza
nani muhusika niliambiwa Kiringo
,nilisikitika sana maana hii si mara ya kwanza kufanya haya mambo
naliomba jeshi la polisi lifanye uchunguzi wa huru ili ikibainika afikishwe
kwenye vyombo vya sheria” alisema Francisca
Jeshi la Polisi visiwani Zanzibar linamshikilia mtuhumiwa wa kesi ya ulawiti Hassan Aboud Talib maarufu kwa jina la ‘Kiringo’ kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 13 jina limehifadhiwa.
Kamanda
wa polisi mkoa
wa mjini magharibi
Hassan Nasri alidhibitisha kukamatwa kwa
mtuhumiwa huyo mwenye umri
wa miaka 45 na
amepelekwa kwenye kituo
cha polisi Fuoni
mjini Unguja .
“Ni kweli Kiringo
tumemkamata na
yupo kwenye mikono
ya jeshi la
polisi kwasasa yupo kwenye
kituo cha Fuoni ,tunaendelea
na uchunguzi tayari nishaunda
timu ya upelelezi
itakayolifanyia uchunguzi suala
hili .Nimewachagua wakuu
wa upelelezi kutoka
wilaya zote tatu
za mkoa wa
Mjini Magharibi , na nawaomba
wananchi wawe na
subra na niwahakikishie tu
kesi itakwenda mahakamani
pindi tu taratibu
zitakapo kamilika ” alisema kamanda
Nasri.
Kiringo
ambaye pia ni
mfanyakazi kigogo wa
mamlaka ya mapato
Tanzania TRA kanda ya
Zanzibar amekuwa akishtumiwa
na kuhusishwa mara kadhaa
na wananchi wa
Zanzibar kuhusika na
vitendo hivyo vya
kinyama visiwani humu.
Comments
Post a Comment